Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MATENDO 9-11

Mwenye Alitesa Wakristo Anakuwa Shahidi Mwenye Bidii

Mwenye Alitesa Wakristo Anakuwa Shahidi Mwenye Bidii

9:15, 16, 20-22

Sauli alitenda bila kukawia kulingana na mambo yenye alijifunza. Sababu gani Sauli aliweza kugeuka, wakati wengine hawakuweza kufanya vile? Ni kwa sababu alimuogopa Mungu kuliko wanadamu na alikuwa mwenye shukrani sana kwa rehema yenye Kristo alimuonyesha. Kama uko unajifunza Biblia lakini haujabatizwa, unaweza kufuata mufano wa Sauli kwa kutenda bila kukawia kulingana na mambo yenye unajifunza?