Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MATENDO 19-20

“Mujiangalie Ninyi Wenyewe na Kundi Lote”

“Mujiangalie Ninyi Wenyewe na Kundi Lote”

20:28, 31, 35

Wazee wanajua kama kila kondoo wa Yehova alinunuliwa kwa bei kubwa sana ya damu ya Yesu, kwa hiyo wanakulisha, wanalinda, na kuhangaikia kundi. Wakristo wanafurahia sana wale wenye wanafuata mufano ya Paulo kwa kujitoa kabisa kwa ajili ya kundi bila kutafuta faida yoyote.