Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | UFUNUO 7-9

Kundi Kubwa la Watu Wenye Hawawezi Kuhesabiwa Wanabarikiwa na Yehova

Kundi Kubwa la Watu Wenye Hawawezi Kuhesabiwa Wanabarikiwa na Yehova

7:9, 14-17

Juu ya nini Yehova anabariki kundi kubwa la watu?

  • ‘Wanasimama mbele ya kile kiti [cha Yehova] cha ufalme,’ ni kusema, wanaunga mukono kabisa mamlaka makubwa ya Yehova

  • Wanavaa “kanzu za mweupe,” ili kuonyesha kama wako safi, na wako wenye haki mbele ya Yehova kwa sababu ya imani yao katika zabihu ya Kristo

  • Wanatoa “utumishi mutakatifu muchana na usiku,” ni kusema, wanamuabudu Yehova bila kuacha na kwa bidii sana

Ninapaswa kufanya nini juu nikuwe kati ya wale wenye kufanyiza kundi kubwa la watu?