Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | UFUNUO 17-19

Vita ya Mungu Itamaliza Vita Yote

Vita ya Mungu Itamaliza Vita Yote

19:11, 14-16, 19-21

Juu ya nini Yehova, “Mungu wa upendo na amani,” aliweka Mwana wake, “Mukubwa wa Amani,” ili apigane vita?​2Ko 13:11; Isa 9:6.

  • Yehova na Yesu wanapenda haki na wanachukia uovu

  • Kutakuwa amani na haki milele wakati tu watu waovu hawatakuwa tena

  • Jeshi la Mungu la mbinguni ‘linapigana vita ya haki,’ kama vile inaonyeshwa na farasi za mweupe na nguo ya kitani kizuri, cheupe, na safi

Tunaweza kufanya nini ili tuokoke wakati wa ile vita ya maana?​—Sef 2:3