Wanahubiri kweli katika Cambodge

BUKU YA MUKUTANO UTUMISHI NA MAISHA YA MUKRISTO Mwezi wa 2, 2018

Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo

Mazungumuzo yenye kutegemea maulizo: Biblia ingali yenye faida leo? Inapingana na sayansi? Mashauri yake inaweza kutusaidia?

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

Mufano wa Ngano na Magugu

Yesu anataja mambo gani katika mufano wake wa ngano na magugu? Mupandaji, adui, na wavunaji wanafananisha nani?

MAISHA YA MUKRISTO

Mifano Kuhusu Ufalme na Maana Yayo Kwetu

Yesu alitumia mifano yenye kuwa mepesi ili kufundisha mambo mazito ya kiroho. Tunaweza kujifunza mambo gani katika Mathayo sura ya 13?

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

Kulisha Watu Wengi Kupitia Wachache

Yesu aliwaambia wanafunzi wake walishe kikundi cha maelfu ya watu, hata kama walikuwa na mikate tano na samaki mbili. Ni nini ilitokea na hilo linatufundisha nini?

MAISHA YA MUKRISTO

“Heshimia Baba Yako na Mama Yako”

Wakati Yesu alikuwa katika dunia alirudilia amri hii: ‘Umuheshimu baba yako na mama yako.’ Amri hiyo inatolewa kwa watu fulani tu?

UTAJIRI WA NENEO LA MUNGU

Uko na Mawazo ya Nani?

Tunapaswa kufanya nini ili tuongozwe na mawazo ya Mungu, hapana ya Shetani? Yesu alitaja mambo tatu yenye itatusaidia kuepuka mawazo ya mubaya

MAISHA YA MUKRISTO

Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri​—Tutumie Muzuri Maulizo

Yesu alitumia muzuri maulizo ili kufundisha wasikilizaji wake somo mbalimbali. Namna gani tunaweza kuiga ufundi wake wa kufundisha katika kazi yetu ya kuhubiri?

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

Epuka Kukwazika na Kukwaza Wengine

Yesu alitumia mifano ili kuonyesha hatari ya kukwazika ao kukwaza wengine. Ni nini inaweza kuwa kikwazo katika maisha yako?