BUKU YA MUKUTANO UTUMISHI NA MAISHA YA MUKRISTO Mwezi wa 2, 2018
Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
Mazungumuzo yenye kutegemea maulizo: Biblia ingali yenye faida leo? Inapingana na sayansi? Mashauri yake inaweza kutusaidia?
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
Mufano wa Ngano na Magugu
Yesu anataja mambo gani katika mufano wake wa ngano na magugu? Mupandaji, adui, na wavunaji wanafananisha nani?
MAISHA YA MUKRISTO
Mifano Kuhusu Ufalme na Maana Yayo Kwetu
Yesu alitumia mifano yenye kuwa mepesi ili kufundisha mambo mazito ya kiroho. Tunaweza kujifunza mambo gani katika Mathayo sura ya 13?
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
Kulisha Watu Wengi Kupitia Wachache
Yesu aliwaambia wanafunzi wake walishe kikundi cha maelfu ya watu, hata kama walikuwa na mikate tano na samaki mbili. Ni nini ilitokea na hilo linatufundisha nini?
MAISHA YA MUKRISTO
“Heshimia Baba Yako na Mama Yako”
Wakati Yesu alikuwa katika dunia alirudilia amri hii: ‘Umuheshimu baba yako na mama yako.’ Amri hiyo inatolewa kwa watu fulani tu?
UTAJIRI WA NENEO LA MUNGU
Uko na Mawazo ya Nani?
Tunapaswa kufanya nini ili tuongozwe na mawazo ya Mungu, hapana ya Shetani? Yesu alitaja mambo tatu yenye itatusaidia kuepuka mawazo ya mubaya
MAISHA YA MUKRISTO
Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri—Tutumie Muzuri Maulizo
Yesu alitumia muzuri maulizo ili kufundisha wasikilizaji wake somo mbalimbali. Namna gani tunaweza kuiga ufundi wake wa kufundisha katika kazi yetu ya kuhubiri?
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
Epuka Kukwazika na Kukwaza Wengine
Yesu alitumia mifano ili kuonyesha hatari ya kukwazika ao kukwaza wengine. Ni nini inaweza kuwa kikwazo katika maisha yako?