Tarehe 12-18 Mwezi wa 2
MATHAYO 14-15
Wimbo 93 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Kulisha Watu Wengi Kupitia Wachache”: (Dak. 10)
Mt 14:16, 17—Wanafunzi walikuwa tu na mikate tano na samaki mbili (w13 15/7 uku. 15 fu. 2)
Mt 14:18, 19—Yesu alilisha watu wengi sana kupitia wanafunzi wake (w13 15/7 uku. 15 fu. 3)
Mt 14:20, 21—Maelfu ya watu walipata faida kupitia muujiza wa Yesu (“bila kuhesabia wanamuke na watoto wadogo” kwa ajili ya funzo kuhusu Mt 14:21, nwtsty; w13 15/7 uku. 15 fu. 1)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)
Mt 15:7-9—Sababu gani hatupaswe kuwa wanafiki? (“wanafiki” kwa ajili ya funzo Mt 15:7, nwtsty)
Mt 15:26—Pengine Yesu alikuwa anafikiria nini wakati alitumia maneno ‘imbwa wadogo’? (“watoto . . . imbwa wadogo” kwa ajili ya funzo Mt 15:26, nwtsty)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini juu ya Yehova?
Umepata mali ingine gani ya kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Mt 15:1-20
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) Ona Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo.
Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza; Video: (Dak. 5) Muangalie video na kuizungumuzia.
Hotuba: (Isipite dak. 6) w15 15/9 uku. 19-20 fu. 14-17—Kichwa: Kaza Akili Yako Juu ya Yesu ili Kutia Nguvu Imani Yako.
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 135
Ukuwe Rafiki ya Yehova—Kufanya Urafiki: (Dak. 7) Muangalie video. Kisha, ualike kwenye jukwaa watoto wenye ulitayarisha, na uwaulize maulizo haya: Juu ya nini tunapaswa kufanya urafiki na watu wenye wanamupenda Yehova? Wanaweza kukufundisha nini?
“Heshimia Baba Yako na Mama Yako”: (Dak. 8) Mazungumuzo. Muangalie video Namna Gani Ninaweza Kuzungumuza na Wazazi Wangu?
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 8
Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)
Wimbo 148 na Sala