Tarehe 19-25 Mwezi wa 2
MATHAYO 16-17
Wimbo 45 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Uko na Mawazo ya Nani?”: (Dak. 10)
Mt 16:21, 22—Petro aliacha mawazo yake ichochewe na namna alijisikia (w07 15/2 uku. 16 fu. 17)
Mt 16:23—Petro hakukuwa na mawazo ya Mungu (w15 15/5 uku. 13 fu. 16-17)
Mt 16:24—Wakristo wanapaswa kuacha mawazo ya Mungu iongoze maisha yao (w06 1/4 uku. 23 fu. 9)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)
Mt 16:18—Mwamba kwenye Yesu alijenga kutaniko la Kikristo ni nani? (“Wewe ni Petro, na juu ya mwamba huu,” “kutaniko” kwa ajili ya funzo Mt 16:18, nwtsty)
Mt 16:19—“Funguo za Ufalme wa mbinguni” zenye Yesu alimupatia Petro zilikuwa nini? (“funguo za Ufalme wa mbinguni” kwa ajili ya funzo Mt 16:19, nwtsty)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini juu ya Yehova?
Umepata mali ingine gani ya kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Mt 16:1-20
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) Anza kwa kutumia namna ya kuanzisha mazungumuzo. Onyesha namna ya kupambana na kizuia-mazungumuzo chenye kutumiwa sana katika eneo lenu.
Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 3) Ona Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo.
Kumurudilia Mutu Mara ya Pili; Video: (Dak. 5) Muangalie video na kuizungumuzia.
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 78
“Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri—Tutumie Muzuri Maulizo”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video Fanya Kazi Yenye Yesu Alifanya—Fundisha.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 9
Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)
Wimbo 134 na Sala