Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 19-25 Mwezi wa 2

MATHAYO 16-17

Tarehe 19-25 Mwezi wa 2
  • Wimbo 45 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • Uko na Mawazo ya Nani?”: (Dak. 10)

    • Mt 16:21, 22​—Petro aliacha mawazo yake ichochewe na namna alijisikia (w07 15/2 uku. 16 fu. 17)

    • Mt 16:23​—Petro hakukuwa na mawazo ya Mungu (w15 15/5 uku. 13 fu. 16-17)

    • Mt 16:24​—Wakristo wanapaswa kuacha mawazo ya Mungu iongoze maisha yao (w06 1/4 uku. 23 fu. 9)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Mt 16:18​—Mwamba kwenye Yesu alijenga kutaniko la Kikristo ni nani? (“Wewe ni Petro, na juu ya mwamba huu,” “kutaniko” kwa ajili ya funzo Mt 16:18, nwtsty)

    • Mt 16:19​—“Funguo za Ufalme wa mbinguni” zenye Yesu alimupatia Petro zilikuwa nini? (“funguo za Ufalme wa mbinguni” kwa ajili ya funzo Mt 16:19, nwtsty)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini juu ya Yehova?

    • Umepata mali ingine gani ya kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Mt 16:1-20

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) Anza kwa kutumia namna ya kuanzisha mazungumuzo. Onyesha namna ya kupambana na kizuia-mazungumuzo chenye kutumiwa sana katika eneo lenu.

  • Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 3) Ona Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo.

  • Kumurudilia Mutu Mara ya Pili; Video: (Dak. 5) Muangalie video na kuizungumuzia.

MAISHA YA MUKRISTO