Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MATHAYO 16-17

Uko na Mawazo ya Nani?

Uko na Mawazo ya Nani?

16:21-23

  • Tuko hakika kama Petro alikuwa na nia ya muzuri; lakini Yesu alirekebisha haraka mawazo ya mubaya ya Petro

  • Yesu alijua kama huo haukuwa wakati wa kujitendea ‘kwa fazili.’ Wakati huo wa lazima sana, Shetani alitafuta kumuchochea Yesu aache kuwa muangalifu

16:24

Yesu alitaja mambo tatu yenye tunapaswa kufanya ili tuongozwe na mawazo ya Mungu. Ni mambo gani?

  • Kujikana ao kujikataa mwenyewe

  • Kuchukua muti wako wa mateso

  • Kuendelea kumufuata Yesu