Uko na Mawazo ya Nani?
-
Tuko hakika kama Petro alikuwa na nia ya muzuri; lakini Yesu alirekebisha haraka mawazo ya mubaya ya Petro
-
Yesu alijua kama huo haukuwa wakati wa kujitendea ‘kwa fazili.’ Wakati huo wa lazima sana, Shetani alitafuta kumuchochea Yesu aache kuwa muangalifu
Yesu alitaja mambo tatu yenye tunapaswa kufanya ili tuongozwe na mawazo ya Mungu. Ni mambo gani?
-
Kujikana ao kujikataa mwenyewe
-
Kuchukua muti wako wa mateso
-
Kuendelea kumufuata Yesu