Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 26 Mwezi wa 2–Tarehe 4 Mwezi wa 3

MATHAYO 18-19

Tarehe 26 Mwezi wa 2–Tarehe 4 Mwezi wa 3
  • Wimbo 121 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • Epuka Kukwazika na Kukwaza Wengine”: (Dak. 10)

    • Mt 18:6, 7​—Hatupaswe kukwaza wengine (“jiwe la kusagia lenye linazungushwa na punda,” “vikwazo” kwa ajili ya funzo na “Jiwe la kusagia,” “Jiwe la Juu la Kusagia na Jiwe la Chini la Kusagia” picha na video Mt 18:6, 7, nwtsty)

    • Mt 18:8, 9​—Tunapaswa kuepuka kila kitu chenye kinaweza kutukwaza (“Gehena” kwa ajili ya funzo Mt 18:9, na maana ya maneno, “Gehena”)

    • Mt 18:10​—Yehova anajua ikiwa tumekwaza wengine (“wanaangalia uso wa Baba yangu” kwa ajili ya funzo Mt 18:10, nwtsty; w10 1/11 uku. 16)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Mt 18:21, 22​—Tunapaswa kuwa tayari kusamehe ndugu yetu mupaka mara ngapi? (“mara makumi saba na saba (77)” kwa ajili ya funzo Mt 18:22, nwtsty)

    • Mt 19:7​—“Cheti cha kufukuza” mwanamuke kilikuwa na kusudi gani? (“cheti cha kumufukuza” kwa ajili ya funzo na “Cheti cha Kuvunja Ndoa” picha na video Mt 19:7, nwtsty)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini juu ya Yehova?

    • Umepata mali ingine gani ya kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Mt 18:18-35

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumurudilia Mutu Mara ya Pili: (Isipite dak. 3) Ona Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo.

  • Kumurudilia Mutu Mara ya Tatu: (Isipite dak. 3) Chagua andiko lenye utatumia, kisha umutolee mutu kichapo cha funzo.

  • Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) bh uku. 25-26 fu. 18-20 ​—Onyesha namna ya kugusa moyo wa mwanafunzi.

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 90

  • Usikuwe Sababu ya Kukwaza (2Kor 6:3): (Dak. 9) Muangalie video.

  • Kampanye ya Kualika Watu Kwenye Ukumbusho Itaanza Tarehe 3 Mwezi wa 3: (Dak. 6) Hotuba yenye kutegemea Buku la Mukutano Utumishi na Maisha la Mwezi wa 2, 2016, ukurasa wa 8. “Mupatie kila mutu katika Jumba la Ufalme mualiko wa Ukumbusho, kisha muzungumuzie mambo yenye kuwa ndani. Onyesha kama hotuba ya pekee yenye kichwa “Yesu Kristo Ni Nani Kabisa?” itatolewa katika juma la tarehe 19, Mwezi wa 3, 2018. Itachochea watu wakuje kwenye Ukumbusho. Zungumuzia mipango yenye mumekamata ili kutolea watu mialiko katika eneo lote la kutaniko.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 10, Kisanduku “Safari Zenye Kufurahisha

  • Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 133 na Sala