Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 5-​11 Mwezi wa 2

MATHAYO 12-13

Tarehe 5-​11 Mwezi wa 2
  • Wimbo 27 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • Mufano wa Ngano na Magugu”: (Dak. 10)

    • Mt 13:24-26​—Mutu alipanda mbegu ya muzuri katika shamba lake, na adui yake alipanda magugu katikati ya ngano (w13 15/7 uku. 9-10 fu. 2-3)

    • Mt 13:27-29​—Ngano na magugu vilikomaa pamoja mupaka wakati wa mavuno (w13 15/7 uku. 10 fu. 4)

    • Mt 13:30​—Wakati wa mavuno, wavunaji walikusanya kwanza magugu na kisha wakakusanya ngano (w13 15/7 uku. 12 fu. 10-12)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Mt 12:20​—Namna gani tunaweza kuiga sifa ya Yesu ya kusikilia wengine huruma? (“utambi wenye kutoa moshi ” kwa ajili ya funzo Mt 12:20, nwtsty)

    • Mt 13:25​—Ni kweli kwamba zamani mutu fulani angepanda kabisa magugu katika shamba la mutu mwengine? (w16.10 uku. 32)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini juu ya Yehova?

    • Umepata mali ingine gani ya kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Mt 12:1-21

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 68

  • Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 5)

  • Mifano Kuhusu Ufalme na Maana Yayo Kwetu”: (Dak. 10) Mazungumuzo. Muonyeshe namna gani mifano hiyo inapatana na kazi yetu ya kuhubiri.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 7

  • Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 10 na Sala