Tarehe 5-11 Mwezi wa 2
MATHAYO 12-13
Wimbo 27 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Mufano wa Ngano na Magugu”: (Dak. 10)
Mt 13:24-26—Mutu alipanda mbegu ya muzuri katika shamba lake, na adui yake alipanda magugu katikati ya ngano (w13 15/7 uku. 9-10 fu. 2-3)
Mt 13:27-29—Ngano na magugu vilikomaa pamoja mupaka wakati wa mavuno (w13 15/7 uku. 10 fu. 4)
Mt 13:30—Wakati wa mavuno, wavunaji walikusanya kwanza magugu na kisha wakakusanya ngano (w13 15/7 uku. 12 fu. 10-12)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)
Mt 12:20—Namna gani tunaweza kuiga sifa ya Yesu ya kusikilia wengine huruma? (“utambi wenye kutoa moshi ” kwa ajili ya funzo Mt 12:20, nwtsty)
Mt 13:25—Ni kweli kwamba zamani mutu fulani angepanda kabisa magugu katika shamba la mutu mwengine? (w16.10 uku. 32)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini juu ya Yehova?
Umepata mali ingine gani ya kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Mt 12:1-21
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza; Video: (Dak. 4) Muangalie video na kuizungumuzia.
Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 3) Ona Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo.
Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) bh uku. 21-23 fu. 10-12
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 68
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 5)
“Mifano Kuhusu Ufalme na Maana Yayo Kwetu”: (Dak. 10) Mazungumuzo. Muonyeshe namna gani mifano hiyo inapatana na kazi yetu ya kuhubiri.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 7
Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)
Wimbo 10 na Sala