Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

MAISHA YA MUKRISTO

Mifano Kuhusu Ufalme na Maana Yayo Kwetu

Mifano Kuhusu Ufalme na Maana Yayo Kwetu

Yesu alitumia mifano yenye kuwa mepesi ili kufundisha mambo mazito ya kiroho. Lakini, ni watu wanyenyekevu tu ndio walitafuta kujua maana ya mifano hiyo na namna ya kuitumikisha. (Mt 13:10-15) Kuhusu kila mufano, mujibie maulizo haya: Mufano huu unaweza kunisaidia namna gani? Unanichochea kufanya nini?

UFALME WA MBINGUNI NI KAMA . . .