Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo

Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo

MUNARA WA MULINZI

Ulizo: Unajua andiko hili lenye kujulikana sana?

Andiko: Yoh 3:16

Kumutolea mutu gazeti: Munara wa Mulinzi huu unafasiria faida yenye tunapata kupitia kifo na mateso ya Yesu.

MUNARA WA MULINZI (ukurasa wa mwisho)

Ulizo: Angalia ulizo hili na majibu fulani. [Soma ulizo la kwanza pamoja na majibu yenye kupendekezwa.] Unachagua jibu gani?

Andiko: Mt 4:1-4

Kumutolea mutu gazeti: Shetani alizungumuza na Yesu na kumujaribu; hilo linaonyesha kwamba Shetani anapaswa kuwa mutu, haiko ufananisho wa ubaya. Biblia inasema tena mambo gani juu ya Shetani? Habari hii inafasiria zaidi jambo hilo.

MUALIKO WA UKUMBUSHO

Kumutolea mutu mualiko: Tunaalika watu kwenye tukio la maana sana. [Umupatie mualiko.] Katika dunia yote, watu wengi sana watakutana tarehe 23 Mwezi wa 3 ili kukumbuka kifo cha Yesu Kristo na kusikiliza hotuba yenye kutegemea Biblia yenye itazungumuzia faida yenye kifo hicho kinatuletea. Mualiko huu unaonyesha saa na mahali tukio hilo litafanyika katika eneo letu. Kama inawezekana, tafazali ukuje.

ANDIKA NAMNA UNAWEZA PIA KUANZISHA MAZUNGUMUZO

Ulizo:

Andiko:

Kutoa Kichapo: