Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 7-13/03

ESTA 6-10

Tarehe 7-13/03
  • Wimbo 131 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • Esta Alijinyima kwa Ajili ya Yehova na Watu Wake”: (Dak. 10)

    • Esta 8:3, 4—Hata kama Esta alikuwa salama, alihatarisha maisha yake kwa ajili ya wengine (ia uku. 143 fu. 24-25)

    • Esta 8:5—Esta alitenda kwa busara ili asimukasirishe Ahasuero (w06 1/3 uku. 11 fu. 8)

    • Esta 8:17—Watu wengi walijiunga na dini ya Wayahudi (w06 1/3 uku. 11 fu. 3)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Esta 8:1, 2—Wakati Yakobo alikuwa karibu kufa alitabiri kuhusu Benyamini kwamba “jioni atagawanya nyara.” Namna gani unabii huo ulitimia? (ia 142, kisanduku)

    • Esta 9:10, 15, 16—Hata kama amri iliruhusu kuchukua nyara, sababu gani Wayahudi hawakuzichukua? (w06 1/3 uku. 11 fu. 4)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hii unanifundisha nini juu ya Yehova?

    • Ni mambo gani ya usomaji wa juma hii ninaweza kutumia katika mahubiri?

  • Usomaji wa Biblia: Esta 8:1-9 (Isipite dak. 4)

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 118

  • Tuwakaribishe Wageni Wetu”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Uombe wahubiri waeleze matokeo mazuri yenye walipata wakati walikaribisha wageni wenye walikuja kwenye Ukumbusho. Mufanye onyesho kuhusu jambo moja lenye kufurahisha lenye lilitendeka.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: ia sura ya 10 fu. 12-21, mambo ya kukumbuka kwenye uku. 91 (Dak. 30)

  • Rudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza kisha zungumuzia kwa kifupi mambo yenye mutajifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 147 na Sala