Tarehe 7-13/03
ESTA 6-10
Wimbo 131 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Esta Alijinyima kwa Ajili ya Yehova na Watu Wake”: (Dak. 10)
Esta 8:3, 4—Hata kama Esta alikuwa salama, alihatarisha maisha yake kwa ajili ya wengine (ia uku. 143 fu. 24-25)
Esta 8:5—Esta alitenda kwa busara ili asimukasirishe Ahasuero (w06 1/3 uku. 11 fu. 8)
Esta 8:17—Watu wengi walijiunga na dini ya Wayahudi (w06 1/3 uku. 11 fu. 3)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)
Esta 8:1, 2—Wakati Yakobo alikuwa karibu kufa alitabiri kuhusu Benyamini kwamba “jioni atagawanya nyara.” Namna gani unabii huo ulitimia? (ia 142, kisanduku)
Esta 9:10, 15, 16—Hata kama amri iliruhusu kuchukua nyara, sababu gani Wayahudi hawakuzichukua? (w06 1/3 uku. 11 fu. 4)
Usomaji wa Biblia wa juma hii unanifundisha nini juu ya Yehova?
Ni mambo gani ya usomaji wa juma hii ninaweza kutumia katika mahubiri?
Usomaji wa Biblia: Esta 8:1-9 (Isipite dak. 4)
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Tujitayarishe ili Kuanzisha Mazungumuzo Katika Mwezi Huu: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video zenye kuonyesha namna ya kuanzisha mazungumuzo na kisha, muzungumuzie mambo makubwa ya kila video. Kisha, muzungumuzie habari yenye kichwa “Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri—Kuandika Namna Yako ya Kuwatolea Watu Magazeti.”
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 118
“Tuwakaribishe Wageni Wetu”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Uombe wahubiri waeleze matokeo mazuri yenye walipata wakati walikaribisha wageni wenye walikuja kwenye Ukumbusho. Mufanye onyesho kuhusu jambo moja lenye kufurahisha lenye lilitendeka.
Funzo la Biblia la Kutaniko: ia sura ya 10 fu. 12-21, mambo ya kukumbuka kwenye uku. 91 (Dak. 30)
Rudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza kisha zungumuzia kwa kifupi mambo yenye mutajifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)
Wimbo 147 na Sala