Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 13-19 Mwezi wa 3

YEREMIA 5-7

Tarehe 13-19 Mwezi wa 3
  • Wimbo 66 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • Waliacha Kufanya Mapenzi ya Mungu”: (Dak. 10)

    • Yer 6:13-15—Yeremia alionyesha waziwazi zambi zenye Waisraeli walifanya (w88-F 1/4 uku. 11-12 fu. 7-8)

    • Yer 7:1-7—Yehova alijaribu kuchochea Waisraeli watubu (w88-F 1/4 uku. 12 fu. 9-10)

    • Yer 7:8-15—Waisraeli waliwaza kama Yehova hangefanya kitu (jr uku. 21 fu. 12)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Yer 6:16—Yehova aliwaomba watu wake wafanye nini? (w05 1/11 uku. 23 fu. 11)

    • Yer 6:22, 23—Sababu gani Yeremia alisema kama kikundi cha watu kingekuja ‘kutoka inchi ya kaskazini’? (w88-F 1/4 uku. 13 fu. 15)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini juu ya Yehova?

    • Ni mambo gani ya usomaji wa juma hili ninaweza kutumia katika mahubiri?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak.4) Yer 5:26–6:5

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) T-36—Umutayarishe kwa ajili ya kumurudilia.

  • Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) T-36—Muzungumuzie sehemu “Pengine Unajiuliza.” Umualike musikilizaji kwenye Ukumbusho.

  • Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) jl somo la 1—Umualike musikilizaji kwenye Ukumbusho.

MAISHA YA MUKRISTO