Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | YEREMIA5-7

Waliacha Kufanya Mapenzi ya Mungu

Waliacha Kufanya Mapenzi ya Mungu

7:1-4, 8-10, 15

  • Yeremia alionyesha waziwazi zambi za Waisraeli na unafiki wao

  • Waisraeli waliona hekalu kama hirizi yenye ingewalinda kwa njia ya muujiza

  • Yehova aliwajulisha kwamba kutoa zabihu kila mara hakukufunika matendo yao mabaya

Ujiulize: Ibada yenye ninamutolea Yehova inapatana na mapenzi Yake ao imekuwa ya desturi tu?

Yeremia anasimama mbele ya mulango wa nyumba ya Yehova