Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 20-26 Mwezi wa 3

YEREMIA 8-11

Tarehe 20-26 Mwezi wa 3
  • Wimbo 117 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • Wanadamu Wako na Lazima ya Muongozo wa Yehova”: (Dak. 10)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Yer 9:24—Ni muzuri kujivunia mambo gani? (w13 15/1 uku. 20 fu. 16)

    • Yer 11:10—Sababu gani Yeremia alitaja ufalme wa makabila kumi katika matangazo yake ya hukumu hata kama muji wa Samaria ulikuwa tayari umeanguka mwaka wa 740 M.K.Y.? (w07 15/3 uku. 9 fu. 2)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini juu ya Yehova?

    • Ni mambo gani ya usomaji wa juma hili ninaweza kutumia katika mahubiri?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Yer 11:6-16

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) Mualiko wa Ukumbusho na wp17.2 habari kubwa—Umutayarishe kwa ajili ya kumurudilia.

  • Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) Mualiko wa ukumbusho na wp17.2 habari kubwa—Umutayarishe kwa ajili ya mazungumuzo ya siku ingine.

  • Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) ld uku. 4-5 (Mwanafunzi anaweza kuchagua ni picha gani mutajifunza.)—Umualike kwenye Ukumbusho.

MAISHA YA MUKRISTO