Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 27 Mwezi wa 3–Tarehe 2 Mwezi wa 4

YEREMIA 12-16

Tarehe 27 Mwezi wa 3–Tarehe 2 Mwezi wa 4
  • Wimbo 135 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • Waisraeli Walimusahau Yehova”: (Dak. 10)

    • Yer 13:1-5—Yeremia alitii wakati Mungu alimuambia afiche mushipi ao mukaba wa kitani, hata kama kufanya hivyo kuliomba kujitoa sana (jr uku. 51 fu. 17)

    • Yer 13:6, 7—Wakati Yeremia alifanya safari ndefu sana ili kurudia kuchukua mukaba wenye alificha, alikuta umeharibika (jr uku. 52 fu.18)

    • Yer 13:8-11—Kupitia mufano huo, Yehova alikuwa akionyesha kwamba urafiki wake na Waisraeli ungeharibika kwa sababu ya mioyo yao migumu (jr uku. 52 fu. 19-20; it-1-F uku. 1070 fu. 14)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Yer 12:1, 2, 14—Yeremia aliuliza ulizo gani, na Yehova alimujibia nini? (jr uku. 118 fu. 11)

    • Yer 15:17—Yeremia alikuwa na mawazo gani juu ya marafiki, na namna gani tunaweza kuiga mufano wake? (w04 1/5 uku. 12 fu. 16)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini juu ya Yehova?

    • Ni mambo gani ya usomaji wa juma hili ninaweza kutumia katika mahubiri?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Yer 13:15-27

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) Mualiko wa Ukumbusho na video—Umutayarishe ili kumurudilia.

  • Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) Mualiko wa Ukumbusho na video—Umutayarishe kwa ajili ya mazungumuzo ya siku ingine.

  • Hotuba: (Dak. 6) w16.03 uku. 29-31 Kichwa: Ni Wakati Gani Watu wa Mungu Walikuwa Watumwa, ao Wafungwa, wa Babiloni Mukubwa?

MAISHA YA MUKRISTO