Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | YEREMIA 12-16

Waisraeli Walimusahau Yehova

Waisraeli Walimusahau Yehova

Yeremia alipewa mugao mugumu wenye ungeonyesha namna Yehova amepanga kabisa kuharibu Yuda na Yerusalemu kwa sababu ya kiburi chao.

Yeremia alichukua mushipi [mukaba] wa kitani

13:1, 2

  • Kufunga mukaba kwenye kiuno kulimaanisha urafiki wa sana kati ya Yehova na taifa la Israeli

Yeremia alikamata mushipi [mukaba] na kuenda nao kwenye Muto Efrati

13:3-5

  • Aliuficha katika mupasuko wa mwamba, na kisha akarudia Yerusalemu

Yeremia alirudia kwenye Muto Efrati ili kuchukua mushipi [mukaba] wenye alificha

13:6, 7

  • Mukaba ulikuwa umeharibika

Kisha Yeremia kutimiza mugao wake, Yehova alionyesha maana ya jambo lenye alimuomba afanye

13:8-11

  • Yeremia alikubali kwa moyo wote kufanya mambo yenye yalionekana kuwa hayana maana; lakini hilo lilisaidia sana ili Yehova aguse mioyo ya watu wake