Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 6-​12 Mwezi wa 3

YEREMIA 1- 4

Tarehe 6-​12 Mwezi wa 3
  • Wimbo 23 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • Niko Pamoja Nawe ili Kukukomboa”: (Dak. 10)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Yer 2:13, 18—Waisraeli wenye hawakuwa waaminifu walifanya mambo gani mbili ya mubaya? (w07 15/3 uku. 9 fu. 8)

    • Yer 4:10—Ni katika maana gani Yehova ‘alidanganya’ watu wake? (w07 15/3 uku. 9 fu. 4)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini juu ya Yehova?

    • Ni mambo gani ya usomaji wa juma hili ninaweza kutumia katika mahubiri?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Yer 4:1-10

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Tujitayarishe ili Kutolea Watu Vichapo Katika Mwezi Huu: (Dak. 15) Mazungumuzo yenye kutegemea sehemu “Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo.” Muangalie video zenye kuonyesha namna ya kuanzisha mazungumuzo, kisha muzungumuzie mambo makubwa.

MAISHA YA MUKRISTO