Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | YEREMIA 1-4

“Niko Pamoja Nawe Ili Kukukomboa”

“Niko Pamoja Nawe Ili Kukukomboa”

Pengine Yeremia alikuwa na miaka 25 hivi wakati Yehova alimuchagua kuwa nabii. Yeremia aliona kama hastahili mugao wa kuwa nabii, lakini Yehova alimuhakikishia kwamba angeendelea kumusaidia.

  1. 647

    Yeremia anafanywa kuwa nabii

  2. 607

    Yerusalemu inaharibiwa

  3. 580

    Kitabu kinamalizwa

Miaka ya mbele ya Yesu