Kualika watu kwenye Ukumbusho katika inchi ya Slovénie

BUKU YA MUKUTANO UTUMISHI NA MAISHA YA MUKRISTO Mwezi wa 3, 2018

Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo

Mazungumuzo yenye kutegemea kampanye ya kualika watu kwenye Ukumbusho na maulizo: Sababu gani Yesu alikufa? Zabihu ya ukombozi inatimiza mambo gani?

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

“Kila Mutu Mwenye Anataka Kuwa Mukubwa Katikati Yenu Anapaswa Kuwa Mutumishi Wenu”

Tunakubali kwanza migao yenye inaweza kufanya watu watuone na tujulikane sana? Mara nyingi mutumishi munyenyekevu anafanya kazi yenye watu hawaone; Yehova Mungu tu ndiye anaiona.

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

Tii Zile Amri Mbili Kubwa Zaidi

Yesu alisema amri mbili kubwa zaidi katika Biblia ni gani? Tunaweza kuonyesha namna gani kama tunatii amri hizo mbili kubwa zaidi?

MAISHA YA MUKRISTO

Namna ya Kukomalisha Upendo Wetu kwa Mungu na kwa Jirani

Tunapaswa kumupenda Mungu na kumupenda jirani. Moja kati ya njia za lazima zaidi ni kusoma Biblia kila siku.

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

Endelea Kuwa Macho Kiroho Katika Siku za Mwisho

Leo watu wengi wameacha mambo ya kawaida ya maisha iwazuie kujitoa kabisa katika kazi ya Mungu. Namna gani Wakristo wenye wanaendelea kuwa macho kiroho wako tofauti na watu wa ulimwengu huu?

MAISHA YA MUKRISTO

Mwisho wa Ulimwengu huu Unakaribia Sana

Maneno ya Yesu inaonyesha namna gani kama tunaishi kabisa katika siku za mwisho? Ulizo hilo linajibiwa katika video Mwisho wa Ulimwengu huu Unakaribia Sana.

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

“Endelea Kukesha”

Bwana-arusi, mabikira wenye busara, na mabikira wapumbavu wenye kuzungumuziwa katika mufano wa Yesu, ni nani? Na mufano huo unaweza kukufundisha nini?

MAISHA YA MUKRISTO

Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri​—Tuonyeshe Wanafunzi Wetu Namna ya Kujitayarisha

Tangu mwanzo, tunapaswa kusaidia wanafunzi wetu wa Biblia wazoee kujitayarisha. Namna gani?