Tii Zile Amri Mbili Kubwa Zaidi
Kwa kutumia Mathayo 22:36-39, andika namba kwenye sababu zenye kuwa hapa chini, zenye zinatuchochea kuhuzuria mikutano ya Kikristo. Upange namba hizo kulingana na sababu zenye unaona kuwa za lazima zaidi:
-
Kutiwa moyo
-
Kutia moyo ndugu na dada zetu
-
Ili kumuabudu Yehova na kumuonyesha upendo wetu
Sababu gani tunapaswa kujikaza kuenda kwenye mikutano hata wakati tumechoka na tunafikiri kama mikutano haitatuletea faida?
Ni katika njia gani zingine tunaweza kuonyesha kama tunatii zile amri mbili kubwa zaidi?