Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MATHAYO 22-23

Tii Zile Amri Mbili Kubwa Zaidi

Tii Zile Amri Mbili Kubwa Zaidi

22:36-39

Kwa kutumia Mathayo 22:36-39, andika namba kwenye sababu zenye kuwa hapa chini, zenye zinatuchochea kuhuzuria mikutano ya Kikristo. Upange namba hizo kulingana na sababu zenye unaona kuwa za lazima zaidi:

  • Kutiwa moyo

  • Kutia moyo ndugu na dada zetu

  • Ili kumuabudu Yehova na kumuonyesha upendo wetu

Sababu gani tunapaswa kujikaza kuenda kwenye mikutano hata wakati tumechoka na tunafikiri kama mikutano haitatuletea faida?

Ni katika njia gani zingine tunaweza kuonyesha kama tunatii zile amri mbili kubwa zaidi?