Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 19-​25 Mwezi wa 3

MATHAYO 24

Tarehe 19-​25 Mwezi wa 3
  • Wimbo 126 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • Endelea Kuwa Macho Kiroho Katika Siku za Mwisho”: (Dak. 10)

    • Mt 24:12​—Kwa sababu ya kuongezeka kwa uasi-sheria upendo wa watu utapoa (it-1 uku. 112 fu. 10)

    • Mt 24:39​—Watu fulani watahangaikia zaidi mambo ya kawaida ya maisha, na hilo litawakengeusha (w99 15/11 uku. 19 fu. 5)

    • Mt 24:44​—Yesu atakuja wakati wenye hatuwazie (jy uku. 259 fu. 5)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Mt 24:8​—Pengine maneno haya ya Yesu ilimaanisha nini? (“maumivu ya taabu” kwa ajili ya funzo Mt 24:8, nwtsty-E)

    • Mt 24:20​—Sababu gani Yesu alisema maneno haya? (“kipindi cha baridi,” “siku ya Sabato” kwa ajili ya funzo Mt 24:20, nwtsty-E)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini juu ya Yehova?

    • Umepata mali ingine gani ya kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Mt 24:1-22

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) Anza kwa kutumia namna ya kuanzisha mazungumuzo. Mwenyenyumba anatokeza kizuia-mazungumuzo chenye kutumiwa sana katika eneo lenu.

  • Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 3) Anza kwa kutumia namna ya kuanzisha mazungumuzo. Haukute mutu mwenye ulizungumuza naye, lakini mutu wa familia yake ndiye anakukaribisha.

  • Kumurudilia Mutu Mara ya Pili; Video: (Dak. 5) Muangalie video na kuizungumuzia.

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 57

  • Mwisho wa Ulimwengu huu Unakaribia Sana”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 13

  • Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 97 na Sala