Tarehe 19-25 Mwezi wa 3
MATHAYO 24
Wimbo 126 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Endelea Kuwa Macho Kiroho Katika Siku za Mwisho”: (Dak. 10)
Mt 24:12—Kwa sababu ya kuongezeka kwa uasi-sheria upendo wa watu utapoa (it-1 uku. 112 fu. 10)
Mt 24:39—Watu fulani watahangaikia zaidi mambo ya kawaida ya maisha, na hilo litawakengeusha (w99 15/11 uku. 19 fu. 5)
Mt 24:44—Yesu atakuja wakati wenye hatuwazie (jy uku. 259 fu. 5)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)
Mt 24:8—Pengine maneno haya ya Yesu ilimaanisha nini? (“maumivu ya taabu” kwa ajili ya funzo Mt 24:8, nwtsty-E)
Mt 24:20—Sababu gani Yesu alisema maneno haya? (“kipindi cha baridi,” “siku ya Sabato” kwa ajili ya funzo Mt 24:20, nwtsty-E)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini juu ya Yehova?
Umepata mali ingine gani ya kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Mt 24:1-22
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) Anza kwa kutumia namna ya kuanzisha mazungumuzo. Mwenyenyumba anatokeza kizuia-mazungumuzo chenye kutumiwa sana katika eneo lenu.
Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 3) Anza kwa kutumia namna ya kuanzisha mazungumuzo. Haukute mutu mwenye ulizungumuza naye, lakini mutu wa familia yake ndiye anakukaribisha.
Kumurudilia Mutu Mara ya Pili; Video: (Dak. 5) Muangalie video na kuizungumuzia.
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 57
“Mwisho wa Ulimwengu huu Unakaribia Sana”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 13
Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)
Wimbo 97 na Sala