Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 26/03–​1/04

MATHAYO 25

Tarehe 26/03–​1/04
  • Wimbo 143 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • Endelea Kukesha”: (Dak. 10)

    • Mt 25:1-6​—Mabikira tano wenye busara na mabikira tano wapumbavu walitoka ili kukutana na bwana-arusi

    • Mt 25:7-10​—Bwana-arusi alifika wakati mabikira wapumbavu walikuwa wameondoka

    • Mt 25:11, 12​—Ni mabikira wenye busara tu ndio waliingia kwenye karamu ya ndoa

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Mt 25:31-33​—Fasiria mufano wa kondoo na mbuzi. (w15 15/3 uku. 27 fu. 7)

    • Mt 25:40​—Namna gani tunaweza kuonyesha ndugu za Kristo urafiki wetu? (w09 15/10 uku. 16 fu. 16-18)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini juu ya Yehova?

    • Umepata mali ingine gani ya kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Mt 25:1-23

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumurudilia Mutu Mara ya Pili: (Isipite dak. 3) Anza kwa kutumia namna ya kuanzisha mazungumuzo. Umualike mutu kwenye Ukumbusho.

  • Kumurudilia Mutu Mara ya Tatu: (Isipite dak. 3) Chagua andiko lenye utatumia, kisha umutolee mutu kichapo cha funzo.

  • Hotuba: (Isipite dak. 6) w15 15/3 uku. 27 fu. 7-10​—Kichwa: Namna Gani Mufano wa Kondoo na Mbuzi Unakazia Kazi ya Kuhubiri?

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 85

  • Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri​—Tuonyeshe Wanafunzi Wetu Namna ya Kujitayarisha”: (Dak. 10) Mazungumuzo. Kisha, muangalie na kuzungumuzia video yenye kuonyesha muhubiri mwenye anaonyesha mwanafunzi wake wa Biblia namna ya kujitayarisha kwa ajili ya funzo. Omba wahubiri waeleze njia zingine zenye wametumia ili kusaidia wanafunzi wao wajitayarishe kwa ajili ya funzo la Biblia.

  • Tuwakaribishe Wageni Wetu: (Dak. 5) Hotuba yenye kutegemea habari yenye kupatikana katika Buku la Mukutano la Mwezi wa 3, 2016. Muzungumuzie mambo ya muzuri yenye mumepata katika kipindi cha Ukumbusho wa 2017. Kumbusha mipango kuhusu parking, namna ya kuingia na kutoka mahali pa Ukumbusho, na mambo mengine kuhusu Ukumbusho wenye utafanywa tarehe 31 Mwezi wa 3.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 14

  • Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 79 na Sala