Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 5-​11 Mwezi wa 3

MATHAYO 20-21

Tarehe 5-​11 Mwezi wa 3
  • Wimbo 76 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • Kila Mutu Mwenye Anataka Kuwa Mukubwa Katikati Yenu Anapaswa Kuwa Mutumishi Wenu”: (Dak. 10)

    • Mt 20:3​—Waandishi na Mafarisayo wenye majivuno walipenda watu wawaone na kuwasalimia “kwenye soko” (“Soko” picha na video Mt 20:3, nwtsty-E)

    • Mt 20:20, 21​—Mitume wawili waliomba wapewe vyeo na mamlaka (“mama ya wana wa Zebedayo,” “mumoja kwenye mukono wako wa kuume na mwingine kwenye mukono wako wa kushoto” kwa ajili ya funzo Mt 20:20, 21, nwtsty-E)

    • Mt 20:25-28​—Yesu alisema kama wanafunzi wake wanapaswa kujinyenyekeza ili kutumikia wengine (“mutumishi,” “hakukuja ili watu wamutumikie, lakini ili yeye atumikie wengine” kwa ajili ya funzo kuhusu Mt 20:26, 28, nwtsty-E)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Mt 21:9​—Wakati watu walikuwa wanalalamika: ‘Muokoe Mwana wa Daudi, tunaomba!’ walipenda kusema nini? (“Okoa, tunaomba,” “Mwana wa Daudi” kwa ajili ya funzo Mt 21:9, nwtsty-E)

    • Mt 21:18, 19​—Sababu gani Yesu alifanya muti wa tini ukauke? (jy uku. 244 fu. 4-6)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini juu ya Yehova?

    • Umepata mali ingine gani ya kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Mt 20:1-19

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza; Video: (Dak. 4) Muangalie video na kuizungumuzia.

  • Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 3) Ona Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo.

  • Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) lv uku. 36-37 fu. 3-4

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 99

  • Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 5)

  • Mambo Yenye Kutimizwa na Tengenezo: (Dak. 10) Muangalie video Mambo Yenye Kutimizwa na Tengenezo ya Mwezi wa 3.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 11

  • Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 53 na Sala