Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 4-10/03

Waroma 12-14

Tarehe 4-10/03
  • Wimbo 106 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • Namna ya Kuonyesha Upendo wa Kikristo”: (Dak. 10)

    • Ro 12:10​—Tupende Wakristo wenzetu (it-1-F uku. 53 fu. 2-3)

    • Ro 12:17-19​—Wakati wanatukosea, tusilipize kisasi (w09 15/10 uku. 8 fu. 3; w07 1/7 uku. 24-25 fu. 12-13)

    • Ro 12:20, 21​—Tushinde ubaya kwa wema (w12 15/11 uku. 29 fu. 13)

  • Chimba Ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Ro 12:1​—Hii andiko inamaanisha nini? (lvs uku. 76-77 fu. 5-6)

    • Ro 13:1​—Ni mu maana gani mamlaka zenye kuwa kubwa “zimewekwa na Mungu katika vyeo vyao vya kadiri”? (w08 15/6 uku. 31 fu. 4)

    • Usomaji wa Biblia wa hii juma umekufundisha nini juu ya Yehova?

    • Umepata mali ingine gani ya kiroho mu usomaji wa Biblia wa hii juma?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Ro 13:1-14 (th somo ya 10)

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 77

  • Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 15)

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 57

  • Rudilia mambo fulani yenye mumejifunza, na useme mambo fulani ya kujifunza juma kesho (Dak. 3)

  • Wimbo 57 na Sala