Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | WAROMA 12-14

Namna ya Kuonyesha Upendo wa Kikristo

Namna ya Kuonyesha Upendo wa Kikristo

12:10, 17-21

Kama tuko na upendo wa kikristo, hatutajizuia tu kulipiza kisasi wakati mutu anatukosea, lakini tutafanya zaidi ya ile: tutamutendea muzuri. “Kama adui yako iko na njaa, mupatie chakula; kama iko na kiu, mupatie kitu akunywe; kwa maana kwa kufanya vile utakusanya makaa yenye moto juu ya kichwa chake.” (Ro 12:20) Matendo ya muzuri yenye tunafanyia mutu mwenye alitutendeaka mubaya inaweza hata kumufanya ahuzunikie mambo yenye alitufanyiaka.

Ulijisikiaka je wakati mutu mwenye ulikoseaka bila kujua alikutendeaka muzuri?