Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | WAROMA 15-16

Umutegemee Yehova Juu Akupatie Uvumilivu na Faraja

Umutegemee Yehova Juu Akupatie Uvumilivu na Faraja

15:4-7

Njia moja yenye Yehova anatumia juu atufariji na kutusaidia tuvumilie ni Neno lake. Namna gani mifano ya watu hawa wenye kuzungumuziwa mu Biblia inakufariji na kukutia moyo?

  • Noa

  • Yosefu

  • Daudi