Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | 1 WAKORINTO 1-3

Uko Mutu wa Kimwili ao Mutu wa Kiroho?

Uko Mutu wa Kimwili ao Mutu wa Kiroho?

2:14-16

Kila mutu anapaswa kujikaza kuwa mutu wa kiroho na kuendelea kukomaa kiroho. (Efe 4:23, 24) Juu ukuwe mutu wa kiroho, unapaswa kula chakula ya kiroho, kujiwekea miradi ya kiroho, na kukomalisha sifa za tunda la roho.

Hali yako ya kiroho iko namna gani leo kama unailinganisha na namna ilikuwa mwaka jana, miaka kumi yenye imepita, ao wakati ulibatizwa?