Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 25-31/03

1 Wakorinto 4-6

Tarehe 25-31/03
  • Wimbo 123 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • Chachu Kidogo Inachachisha Donge Lote”: (Dak. 10)

    • 1Ko 5:1, 2​—Kutaniko la Korinto halikukamata hatua yoyote juu ya mukosaji mwenye hakutubu

    • 1Ko 5:5-8, 13​—Paulo aliambia Wakristo wa ile kutaniko waondoe “chachu” katikati yao na watoe ule mukosaji kwa Shetani (it-2-F uku. 130 fu. 5, uku. 903 fu. 6)

    • 1Ko 5:9-11​—Kutaniko halipaswe kushirikiana na wakosaji wenye hawatubu (lvs uku. 241, mafasirio ingine “Kutengwa na Kutaniko”)

  • Chimba Ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • 1Ko 4:9​—Ni mu maana gani watumishi wa Mungu ni “tamasha” kwa malaika? (w09 15/5 uku. 24 fu. 16)

    • 1Ko 6:3​—Pengine Paulo alikuwa anamaanisha nini wakati alisema: “Tutahukumu malaika”? (it-2-F uku. 151 fu. 2)

    • Usomaji wa Biblia wa hii juma umekufundisha nini juu ya Yehova?

    • Umepata mali ingine gani ya kiroho mu usomaji wa Biblia wa hii juma?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) 1Ko 6:1-14 (th somo ya 10)

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

MAISHA YA MUKRISTO