Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo

Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo

●○○ KUMUTEMBELEA MUTU MARA YA KWANZA

Ulizo: Yesu alikuwa nani?

Andiko: Mt 16:16

Ulizo la Kuachia Mutu: Juu ya nini Yesu alikufa?

○●○ KUMURUDILIA MUTU MARA YA KWANZA

Ulizo: Juu ya nini Yesu alikufa?

Andiko: Mt 20:28

Ulizo la Kuachia Mutu: Namna gani tunaweza kuonyesha shukrani yetu kwa ajili ya bei ya ukombozi ya Yesu?

○○● KUMURUDILIA MUTU MARA YA PILI

Ulizo: Namna gani tunaweza kuonyesha shukrani yetu kwa ajili ya bei ya ukombozi ya Yesu?

Andiko: Yo 17:3

Ulizo la Kuachia Mutu: Mikutano ya Mashahidi wa Yehova inafanyikaka namna gani?

KAMPANYE YA KUALIKA WATU KU UKUMBUSHO (Tarehe 14/3–7/4):

“Tunakuja kukualika kwenye tukio la maana sana. Watu mingi sana watakutana ili kukumbuka kifo cha Yesu.” Umupatie musikilizaji mualiko. “Ku huu mwaliko utaona saa na mahali kwenye ule mukutano utafanyika mu eneo letu. Tena, tunakualika kusikiliza hotuba ya pekee yenye itatolewa juma moja mbele ya juma la ukumbusho.”

Ulizo la Kuachia Mutu Kama Anapendezwa: Juu ya nini Yesu alikufa?