Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 16-22/3

MWANZO 25-26

Tarehe 16-22/3
  •  Wimbo 18 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • Esau Anauzisha Haki Yake ya Kuwa Muzaliwa wa Kwanza”: (Dak. 10)

    • Mwa 25:27, 28​—Mapacha wawili, ni kusema Esau na Yakobo, walikuwa na utu tofauti na walipenda mambo tofauti (it-1-F uku. 1224)

    • Mwa 25:29, 30​—Esau alishindwa kujizuia kwa sababu alikuwa na njaa na alikuwa amechoka

    • Mwa 25:31-34​—Esau alikosa Shukrani, njo maana aliuzisha haki yake ya kuwa muzaliwa wa kwanza kwa Yakobo juu ya chakula (w19.02 uku. 16 fu. 11; it-2-F uku. 637)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 10)

    • Mwa 25:31-34​—Juu ya nini hii habari haihakikishe kama kizazi chenye kuongoza kwa Masiya kilipitishwa tu kupitia haki ya kuwa muzaliwa wa kwanza? (Ebr 12:16; w17.12 uku. 15 fu. 5-7)

    • Mwa 26:7​—Juu ya nini Isaka hakusemaka kweli yote mu hii hali? (it-2-F uku. 255 fu. 6)

    • Katika usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova Mungu, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Mwa 26:1-18 (th somo ya 5)

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Video ya Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza: (Dak. 5) Mazungumuzo. Muangalie video. Kisha uulize wasikilizaji maulizo yenye kufuata: Tunaweza kufanya nini ili musikilizaji asisikie haya wakati hajue jibu la ulizo lenye tunamuuliza? Namna gani muhubiri alifikiri muzuri pamoja na musikilizaji juu ya andiko la Matayo 20:28?

  • Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 4) Tumia ukurasa wa kwanza. (th somo ya 3)

  • Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 4) Anza kwa kutumia ukurasa wa kwanza. Kisha umutolee musikilizaji kitabu Biblia Inatufundisha Nini? (th somo ya 15)

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 78

  • Tumia Video Wakati Uko Unajifunza na Watu Broshua Habari Njema Yenye Inatoka kwa Mungu!: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video Watu Wenye Wamekufa Wako Katika Hali Gani? na video Sababu Gani Mungu Anaacha Mateso? Kisha kuangalia kila video, uliza maulizo yenye kufuata: Namna gani unaweza kutumia hii video wakati uko unajifunza na mutu broshua Habari Njema? (mwb19.03 uku. 7) Ni mambo gani yenye umeona yenye inaweza kukusaidia wakati uko unafundisha? Kumbusha wote kama broshua Habari Njema ya kielektroniki iko na lien zenye kupeleka kwenye video.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 108

  • Maneno ya Kumalizia (Isipite dak. 3)

  • Wimbo 107 na Sala