Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MWANZO 25-26

Esau Anauzisha Haki Yake ya Kuwa Muzaliwa wa Kwanza

Esau Anauzisha Haki Yake ya Kuwa Muzaliwa wa Kwanza

25:27-34

Esau “hakuheshimia mambo matakatifu.” (Ebr 12:16) Kwa hiyo, aliuzisha haki yake ya kuwa muzaliwa wa kwanza. Tena alioa wanamuke wawili wenye hawakuwa wanamuabudu Mungu.​—Mwa 26:34, 35.

UJIULIZE HIVI: ‘Ninaweza kuonyesha namna gani kama ninaheshimia mambo matakatifu yenye kufuata?’

  • Uhusiano wangu pamoja na Yehova

  • Roho takatifu

  • Kuitwa kwa jina takatifu la Yehova

  • Kazi ya kuhubiri

  • Mikutano ya Kikristo

  • Ndoa