Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MWANZO 22-23

Mungu Anamujaribu Abrahamu

Mungu Anamujaribu Abrahamu

22:1, 2, 9-12, 15-18

Maumivu yenye Abrahamu alisikia wakati alikuwa anajitayarisha kumutoa mwana wake, inatusaidia kuelewa maumivu yenye Yehova alisikia wakati alitoa Mwana wake, Yesu Kristo, kuwa bei ya ukombozi. (Yoh 3:16) Mustari wa 2 unatufundisha nini juu ya Yehova?

Upendo wa Yehova unakuchochea kufanya nini?​1Ko 6:20; 1Yo 4:11