Mungu Anamujaribu Abrahamu
Maumivu yenye Abrahamu alisikia wakati alikuwa anajitayarisha kumutoa mwana wake, inatusaidia kuelewa maumivu yenye Yehova alisikia wakati alitoa Mwana wake, Yesu Kristo, kuwa bei ya ukombozi. (Yoh 3:16) Mustari wa 2 unatufundisha nini juu ya Yehova?
Upendo wa Yehova unakuchochea kufanya nini?—1Ko 6:20; 1Yo 4:11