Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 23-29/3

MWANZO 27-28

Tarehe 23-29/3
  • Wimbo 10 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • Yakobo Anapewa Baraka Yenye Iko na Haki ya Kupata”: (Dak. 10)

    • Mwa 27:6-10​—Rebeka alimusaidia Yakobo kupata baraka yenye alikuwa na haki ya kupata (w04 15/4 uku. 11 fu. 4-5)

    • Mwa 27:18, 19​—Yakobo alifanya baba yake Isaka awaze kama alikuwa Esau (w07 1/10 uku. 31 fu. 2-3)

    • Mwa 27:27-29​—Isaka alipatia Yakobo baraka yenye muzaliwa wa kwanza alipaswa kupewa (it-1-F uku. 295 fu. 6)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 10)

    • Mwa 27:46–28:2​—Hii habari inaweza kufundisha nini wale wenye kuoana? (w06 15/4 uku. 6 fu. 3-4)

    • Mwa 28:12, 13​—“Ngazi” yenye Yakobo aliona katika ndoto ilikuwa na maana gani? (w04 15/1 uku. 28 fu. 6)

    • Katika usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova Mungu, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Mwa 27:1-23 (th somo ya 2)

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Video ya Kumurudilia Mutu Mara ya Pili: (Dak. 5) Mazungumuzo. Muangalie video. Kisha uliza wasikilizaji maulizo yenye kufuata: Muhubiri alionyesha namna gani kama alikuwa anasikiliza wakati musikilizaji wake alikuwa anajieleza? Namna gani muhubiri alitumikisha muzuri Vyombo Vyetu vya Kufundishia?

  • Kumurudilia Mutu Mara ya Pili: (Isipite dak. 3) Tumia ukurasa wa kwanza. (th somo ya 6)

  • Funzo la Biblia: (Isipite dak. 5) jl somo la 17 (th somo ya 11)

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 34

  • Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 15)

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 109

  • Maneno ya Kumalizia (Isipite dak. 3)

  • Wimbo 28 na Sala