Tarehe 23-29/3
MWANZO 27-28
Wimbo 10 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Yakobo Anapewa Baraka Yenye Iko na Haki ya Kupata”: (Dak. 10)
Mwa 27:6-10—Rebeka alimusaidia Yakobo kupata baraka yenye alikuwa na haki ya kupata (w04 15/4 uku. 11 fu. 4-5)
Mwa 27:18, 19—Yakobo alifanya baba yake Isaka awaze kama alikuwa Esau (w07 1/10 uku. 31 fu. 2-3)
Mwa 27:27-29—Isaka alipatia Yakobo baraka yenye muzaliwa wa kwanza alipaswa kupewa (it-1-F uku. 295 fu. 6)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 10)
Mwa 27:46–28:2—Hii habari inaweza kufundisha nini wale wenye kuoana? (w06 15/4 uku. 6 fu. 3-4)
Mwa 28:12, 13—“Ngazi” yenye Yakobo aliona katika ndoto ilikuwa na maana gani? (w04 15/1 uku. 28 fu. 6)
Katika usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova Mungu, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Mwa 27:1-23 (th somo ya 2)
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Video ya Kumurudilia Mutu Mara ya Pili: (Dak. 5) Mazungumuzo. Muangalie video. Kisha uliza wasikilizaji maulizo yenye kufuata: Muhubiri alionyesha namna gani kama alikuwa anasikiliza wakati musikilizaji wake alikuwa anajieleza? Namna gani muhubiri alitumikisha muzuri Vyombo Vyetu vya Kufundishia?
Kumurudilia Mutu Mara ya Pili: (Isipite dak. 3) Tumia ukurasa wa kwanza. (th somo ya 6)
Funzo la Biblia: (Isipite dak. 5) jl somo la 17 (th somo ya 11)
MAISHA YA MUKRISTO
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 15)
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 109
Maneno ya Kumalizia (Isipite dak. 3)
Wimbo 28 na Sala