Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MWANZO 27-28

Yakobo Anapewa Baraka Yenye Iko na Haki ya Kupata

Yakobo Anapewa Baraka Yenye Iko na Haki ya Kupata

27:6-10, 18, 19, 27-29

Wakati Isaka alimubariki Yakobo, ile baraka ilikuwa unabii.

  • 27:28​—Yehova alipatia wazao wa Yakobo inchi yenye mboleo, yenye “kutiririka maziwa na asali.”​—Kum 26:15

  • 27:29​—Waisraeli (wazao wa Yakobo) wakakuwa wenye nguvu zaidi kuliko Waedomu (wazao wa Esau).​—Mwa 25:23; 2Sa 8:14

  • 27:29​—Yehova alilaani na kuharibu Waedomu kwa sababu walichukia Waisraeli na ku mwisho hawakukuwa tena taifa.​—Eze 25:12-14