Yakobo Anapewa Baraka Yenye Iko na Haki ya Kupata
Wakati Isaka alimubariki Yakobo, ile baraka ilikuwa unabii.
-
27:28—Yehova alipatia wazao wa Yakobo inchi yenye mboleo, yenye “kutiririka maziwa na asali.”—Kum 26:15
-
27:29—Waisraeli (wazao wa Yakobo) wakakuwa wenye nguvu zaidi kuliko Waedomu (wazao wa Esau).—Mwa 25:23; 2Sa 8:14
-
27:29—Yehova alilaani na kuharibu Waedomu kwa sababu walichukia Waisraeli na ku mwisho hawakukuwa tena taifa.—Eze 25:12-14