Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 30/3–5/4

MWANZO 29-30

Tarehe 30/3–5/4
  • Wimbo 93 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • Yakobo anaoa”: (Dak. 10)

    • Mwa 29:18-20​—Yakobo alikubali kumutumikia Labani miaka saba ili aoe Raheli (w03 15/10 uku. 29 fu. 6)

    • Mwa 29:21-26​—Labani alimudanganya Yakobo kwa kumupatia Lea pa nafasi ya Raheli (w07 1/10 uku. 8-9; it-2-F uku. 222 fu. 5)

    • Mwa 29:27, 28​—Yakobo alijikaza kufanya yote yenye aliweza katika hali yake

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 10)

    • Mwa 30:3​—Juu ya nini Raheli aliona watoto wenye Bila alizaa na Yakobo kuwa kama watoto wake mwenyewe? (it-1-F uku. 49 fu. 2)

    • Mwa 30:14, 15​—Pengine ni juu ya nini Raheli aliachilia nafasi ya kulala na bwana yake kwa kubadilishana na matunda ya dudai? (w04 15/1 uku. 28 fu. 7)

    • Katika usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova Mungu, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Mwa 30:1-21 (th somo ya 2)

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

MAISHA YA MUKRISTO