Kumutafutia Isaka Bibi
Mutumishi wa Abrahamu alimuomba Yehova amuongoze wakati alikuwa anamuchagulia Isaka bibi. (Mwa 24:42-44) Na sisi tunapaswa kumuomba Yehova atuongoze mbele ya kukamata maamuzi makubwa. Tunaweza kufanya vile namna gani?
-
Usali
-
Tafuta muongozo katika Neno la Mungu na katika vichapo vyenye kutegemea Biblia
-
Omba Wakristo wenye kukomaa kiroho wakusaidie na mashauri