Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MWANZO 24

Kumutafutia Isaka Bibi

Kumutafutia Isaka Bibi

24:2-4, 11-15, 58, 67

Mutumishi wa Abrahamu alimuomba Yehova amuongoze wakati alikuwa anamuchagulia Isaka bibi. (Mwa 24:42-44) Na sisi tunapaswa kumuomba Yehova atuongoze mbele ya kukamata maamuzi makubwa. Tunaweza kufanya vile namna gani?

  • Usali

  • Tafuta muongozo katika Neno la Mungu na katika vichapo vyenye kutegemea Biblia

  • Omba Wakristo wenye kukomaa kiroho wakusaidie na mashauri