Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

LIVING AS CHRISTIANS

Kusoma Biblia Kila Siku na Kutafuta Hekima

Kusoma Biblia Kila Siku na Kutafuta Hekima

Hekima yenye inatoka kwa Mungu ni ya maana sana sawa vile hazina yenye kufichwa. (Mez 2:1-6) Hekima inatusaidia tukuwe na utambuzi na tukamate maamuzi ya muzuri. Na pia inatulinda. Kwa hiyo, hekima njo “jambo la maana zaidi.” (Mez 4:5-7) Inaomba kujikaza sana ili kupata hazina za kiroho zenye kufichwa mu Neno ya Mungu. Tunaweza kuanza kwa kusoma Neno ya Mungu “muchana na usiku,” ni kusema, kila siku. (Yos 1:8) Ona mambo yenye inaweza kutusaidia tukuwe nasoma Neno ya Mungu kwa ukawaida na tufurahie kufanya vile.

MUANGALIE VIDEO VIJANA WENYE WANAJIFUNZA KUPENDA NENO YA MUNGU, NA MUJIBIE MAULIZO YENYE KUFUATA:

Ni nini ilifanya ikuwe nguvu kwa hawa vijana kuwa nasoma Biblia kila siku, na nini njo iliwasaidia?

  • Melanie

  • Samuel

  • Celine

  • Raphaello

PROGRAMU YANGU YA KUSOMA BIBLIA: