LIVING AS CHRISTIANS
Kusoma Biblia Kila Siku na Kutafuta Hekima
Hekima yenye inatoka kwa Mungu ni ya maana sana sawa vile hazina yenye kufichwa. (Mez 2:1-6) Hekima inatusaidia tukuwe na utambuzi na tukamate maamuzi ya muzuri. Na pia inatulinda. Kwa hiyo, hekima njo “jambo la maana zaidi.” (Mez 4:5-7) Inaomba kujikaza sana ili kupata hazina za kiroho zenye kufichwa mu Neno ya Mungu. Tunaweza kuanza kwa kusoma Neno ya Mungu “muchana na usiku,” ni kusema, kila siku. (Yos 1:8) Ona mambo yenye inaweza kutusaidia tukuwe nasoma Neno ya Mungu kwa ukawaida na tufurahie kufanya vile.
MUANGALIE VIDEO VIJANA WENYE WANAJIFUNZA KUPENDA NENO YA MUNGU, NA MUJIBIE MAULIZO YENYE KUFUATA:
Ni nini ilifanya ikuwe nguvu kwa hawa vijana kuwa nasoma Biblia kila siku, na nini njo iliwasaidia?
-
Melanie
-
Samuel
-
Celine
-
Raphaello
PROGRAMU YANGU YA KUSOMA BIBLIA: