Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

Sikiliza Mashauri Yenye Hekima ili Upate Faida

Sikiliza Mashauri Yenye Hekima ili Upate Faida

Rehoboamu alipaswa kukamata uamuzi (2Ny 10:1-4; w18.06 uku. 13 fu. 3)

Rehoboamu alitafuta shauri (2Ny 10:6-11; w01-SW 1/9 uku. 28-29)

Juu Rehoboamu hakusikiliza mashauri yenye hekima, aliteseka na watu pia waliteseka (2Ny 10:12-16; it-2-F uku. 754 fu. 5)

Kwa sababu ya uzoefu wao, Wakristo wenye kukomaa wanaweza kuona mbele ya wakati matokeo yenye uamuzi fulani unaweza kuleta.—Yob 12:12.

UJIULIZE HIVI: ‘Mu kutaniko, nani njo anaweza kunipatia mashauri ya muzuri?’