Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 20-26/3

2 MAMBO YA NYAKATI 1-4

Tarehe 20-26/3
  • Wimbo 41 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI

  • Mwaliko wa Ukumbusho: (Dak. 3) Alika mufanyakazi mwenzako, mwanafunzi mwenzako, ao mutu wa jamaa yako. (th somo ya 2)

  • Kumurudilia Mutu: (Dak. 4) Rudilia mutu mwenye alipendezwa na kukubali mwaliko wa Ukumbusho. Umuambie kuhusu mupango wetu wa kujifunza na watu Biblia bila kulipa, na umupatie broshua Furahia Maisha Milele!. Fanya utangulizi wa video Tunajifunzaka Biblia na Watu Namna Gani? (lakini usiionyeshe) na muizungumuzie. (th somo ya 17)

  • Funzo ya Biblia: (Dak. 5) lff somo ya 09 nukta ya 5 (th somo ya 9)

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 19

  • Utakuwa Tayari kwa Ajili ya Siku ya Maana Zaidi mu Mwaka?: (Dak. 15) Hotuba na video. Itolewe na mwangalizi wa utumishi. Ambia ndugu na dada namna kampanye iko naendelea mu eneo yenu. Uliza maulizo wahubiri wenye walipata matokeo ya muzuri. Zungumuzia programu ya usomaji wa Biblia kwa ajili ya Ukumbusho yenye kuwa ku ukurasa wa 8 na 9, na utie watu wote moyo waisome juu watayarishe moyo wao. (Ezr 7:10) Onyesha namna tunaweza kukaribisha kwa uchangamufu watu wenye watajiunga na siye ku Ukumbusho. (Ro 15:7; mwb16.03 uku. 2) Muangalie video Namna ya Kutengeneza Mukate kwa Ajili ya Ukumbusho.

  • Funzo ya Biblia ya Kutaniko: (Dak. 30) lff somo ya 41 nukta ya 1-4

  • Maneno ya Kumalizia (Dak. 3)

  • Wimbo 135 na Sala