Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

‘Moyo Wangu Utakuwa Pale Sikuzote’

‘Moyo Wangu Utakuwa Pale Sikuzote’

Yehova alichagua hekalu kuwa fasi ya kumutolea ibada (2Ny 7:11, 12)

Moyo wa Yehova ungekuwa pale sikuzote, ni kusema angependezwa na mambo yote yenye ilikuwa inafanyika mu hekalu juu ilikuwa imebeba jina yake (2Ny 7:16; w02-SW 15/11 uku. 5 fu. 1)

Kama watu wangeacha kumuabudu Yehova “kwa moyo wao wote,” angeruhusu hekalu iharibiwe (2Ny 6:14; 7:19-21; it-2-F uku. 1048 fu. 5)

Wakati hekalu ilitolewa kwa Yehova, pengine watu waliwaza kama wangeendelea kumuabudu Yehova kwa moyo wote. Lakini, jambo ya kuhuzunisha ni kama polepole waliacha bidii yenye walikuwa nayo kwa ajili ya ibada ya Yehova.

UJIULIZE HIVI: ‘Namna gani niko naonyesha kama niko namuabudu Yehova kwa moyo wote?’