Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 15-21/4

ZABURI 29-31

Tarehe 15-21/4

Wimbo 108 na Sala | Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

1. Nizamu Inaonyesha Kama Mungu Anatupendaka

(Dak. 10)

Yehova alificha uso wake wakati Daudi alikatala kumutii (Zb 30:7; it-1-F uku. 863 fu. 10)

Daudi alimuomba Yehova amuonyeshe rehema (Zb 30:8)

Yehova hakuendelea kumukasirikia Daudi (Zb 30:5; w07-SW 1/3 uku. 19 fu. 1)


Inawezekana Zaburi ya 30 inazungumuzia jambo yenye ilitokea kisha Daudi kuhesabia Waisraeli.—2Sa 24:25.

ULIZO YA KUTAFAKARI: Namna gani mutengwa anaweza kupata faida kupitia nizamu na kuonyesha kama anatubu?—w21.10 uku. 6 fu. 18.

2. Mali ya Kiroho

(Dak. 10)

  • Zb 31:23—Namna gani Yehova analipaka malipo mengi sana mutu mwenye kuonyesha kiburi? (w06-SW 15/5 uku. 19 fu. 13)

  • Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ulipata mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia?

3. Usomaji wa Biblia

TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI

4. Kuanzisha Mazungumuzo

(Dak. 1) MAHUBIRI YA MAHALI PA WATU WENGI. Hubiria kwa kifupi mutu mwenye anakuambia kama hana wakati. (lmd somo ya 5 nukta ya 3)

5. Kuanzisha Mazungumuzo

(Dak. 3) MAHUBIRI YA WAKATI WOWOTE. Onyesha mama video fulani kuhusu watoto, na umuonyeshe namna anaweza kupata mavideo ingine. (lmd somo ya 3 nukta ya 3)

6. Kuendelesha Mazungumuzo

(Dak. 3) MAHUBIRI YA MAHALI PA WATU WENGI. Anzisha funzo ya Biblia na mutu mwenye alikatalaka kujifunza zamani. (lmd somo ya 8 nukta ya 3)

7. Kufanya Wanafunzi

MAISHA YA MUKRISTO

Wimbo 45

8. Juu ya Nini Tunaamini Kama . . . Mungu Anatupenda

(Dak. 7) Mazungumuzo. Muangalie VIDEO. Kisha uliza wasikilizaji:

Mufano wa huyu ndugu unatufundisha nini kuhusu upendo wa Yehova?

9. Ripoti ya 2024 ya LDC

(Dak. 8) Hotuba. Muangalie VIDEO.

10. Funzo ya Biblia ya Kutaniko

Maneno ya Kumalizia (Dak. 3) | Wimbo 99 na Sala