Tarehe 18-24/3
ZABURI 19-21
Wimbo 6 na Sala | Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
1. “Mbingu Zinatangaza Utukufu wa Mungu”
(Dak. 10)
Uumbaji wa Yehova unatangaza utukufu wake (Zb 19:1; w04-SW 1/1 uku. 8 fu. 1-2)
Jua ni uumbaji wa ajabu (Zb 19:4-6; w04-SW 1/6 uku. 11 fu. 8-10)
Tunapaswa kujifunza mambo fulani kupitia uumbaji wa Mungu (Mt 6:28; g95 8/11 uku. 7 fu. 2)
KU IBADA YA FAMILIA: Muangalie uumbaji, kisha muzungumuzie mambo yenye munajifunza juu ya Yehova.
2. Mali ya Kiroho
(Dak. 10)
Zb 19:7-9—Yehova amefanya nini ili vitu vyote vyenye aliumba vitumike muzuri pamoja? (w17.02 uku. 4 fu. 5)
Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ulipata mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia?
3. Usomaji wa Biblia
(Dak. 4) Zb 19:1-14 (th somo ya 11)
4. Kuanzisha Mazungumuzo
(Dak. 3) MAHUBIRI YA MAHALI PA WATU WENGI. Upatie mwenye nyumba mwaliko wa Ukumbusho, na uangalie ku jw.org juu ya kujua fasi kwenye Ukumbusho utafanyika karibu na kwenye anaishi. (lmd somo ya 2 nukta ya 3)
5. Kuanzisha Mazungumuzo
(Dak. 4) MAHUBIRI YA WAKATI WOWOTE. Karibisha mutu mwenye alikuta mwaliko chini ya mulango wake na akakuya ku Ukumbusho. Ufanye mipango juu ya kujibia maulizo yake. (lmd somo ya 3 nukta ya 4)
6. Kufasiria Mambo Yenye Unaamini
(Dak. 5) Hotuba. ijwfq 45—Kichwa: Juu ya Nini Mashahidi wa Yehova Wanafanyaka Meza ya Bwana Tofauti na Dini Zingine? (th somo ya 6)
Wimbo 141
7. Tumia Uumbaji ili Kufanya Imani Yako Ikuwe Nguvu
(Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie VIDEO. Kisha uulize wasikilizaji hivi:
Namna gani uumbaji unatusaidia tukuwe na imani zaidi katika Muumbaji?
8. Funzo ya Biblia ya Kutaniko
(Dak. 30) bt sura ya 7 fu. 9-13, kisanduku ku uku. 56