Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 25-31/3

ZABURI 22

Tarehe 25-31/3

Wimbo 19 na Sala | Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

Maaskari wako napiga kura juu ya kujua nani njo atabeba nguo ya Yesu

1. Habari Zenye Zilitabiriwa Juu ya Kifo ya Yesu

(Dak. 10)

Ingeonekana sawa vile Mungu amemuacha Yesu (Zb 22:1; w11-SW 15/8 uku. 15 fu. 16)

Watu wangemusema Yesu mubaya (Zb 22:7, 8; w11-SW 15/8 uku. 15 fu. 13)

Wangepigia kura nguo ya Yesu (Zb 22:18; w11-SW 15/8 uku. 15 fu. 14; ona picha ku jalada)

UJIULIZE, ‘Namna gani Zaburi ya 22 inanisaidia nitumainie kabisa kama maunabii ingine juu ya Masiya itatimia, sawa vile unabii wenye kuwa mu Mika 4:4?’

2. Mali ya Kiroho

(Dak. 10)

  • Zb 22:22—Leo, ni mu njia gani tunaweza kuiga muandikaji wa hii zaburi? (w06-SW 1/11 uku. 29 fu. 7; w03-SW 1/9 uku. 20 fu. 1)

  • Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ulipata mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia?

3. Usomaji wa Biblia

TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI

4. Kuanzisha Mazungumuzo

(Dak. 3) NYUMBA KWA NYUMBA. (lmd somo ya 4 nukta ya 4)

5. Kuendelesha Mazungumuzo

(Dak. 4) MAHUBIRI YA WAKATI WOWOTE. Endelesha mazungumuzo na mutu mwenye unajuana naye mwenye ulipatiaka mwaliko wa Ukumbusho. (lmd somo ya 4 nukta ya 3)

6. Hotuba

(Dak. 5) w20.07 uku. 12-13 fu. 14-17—Kichwa: Namna Unabii wa Biblia Unatusaidia Tukuwe na Imani ya Nguvu. (th somo ya 20)

MAISHA YA MUKRISTO

Wimbo 95

7. Mahitaji ya Kutaniko

(Dak. 15)

8. Funzo ya Biblia ya Kutaniko

Maneno ya Kumalizia (Dak. 3) | Wimbo 53 na Sala