Ndugu na dada kwenye mukusanyiko wa kimataifa wa 2014, New Jersey, Amerika.

BUKU YA MUKUTANO UTUMISHI NA MAISHA YA MUKRISTO Mwezi wa 4, 2016

Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo

Maneno ya kusema ili kumutolea mutu Amuka! na kitabu Biblia Inafundisha. Fuata mufano huu ili kuandika namna yako ya kuanzisha mazungumuzo.

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

Utie Wengine Moyo Kupitia Maneno Yenye Upendo ili Wapate Nguvu

Marafiki watatu wa Ayubu hawakumufariji lakini waliongeza huzuni yake kwa kusema mashitaka yenye kuumiza na ya uwongo. (Ayubu 16-20)

MAISHA YA MUKRISTO

Habari Mupya ili Kuanzisha Mazungumuzo

Uanzishe mazungumuzo ya Biblia kwa kutumia sehemu “Biblia Inasema Nini?”

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

Ayubu Alipinga Mawazo Mabaya

Tuone tofauti kati ya uwongo wa Shetani na namna Yehova anajisikia kabisa kwa ajili yetu. (Ayubu 21-27)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

Ayubu Alikuwa Mufano Muzuri wa Uaminifu

Ayubu aliamua kuendelea kufuata kanuni za Yehova za mwenendo safi na kuiga wema na haki yake. (Ayubu 28-32)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

Rafiki wa Kweli Anatoa Mashauri Yenye Kujenga

Uige namna Elihu alihangaikia rafiki wake Ayubu kwa upendo. (Ayubu 33-37)

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

Kampanye ya Kualika Watu Kwenye Mukusanyiko wa Eneo

Mambo ya kukumbuka wakati unaalika watu kwenye mukusanyiko wa eneo. Ufanye mazoezi kuhusu namna ya kutolea mutu mualiko.

MAISHA YA MUKRISTO

Mukusanyiko wa Eneo—Mambo ya Kukumbuka

Ufikiri kuhusu namna ya kuonyesha wengine upendo kwenye mukusanyiko wa eneo.