BUKU YA MUKUTANO UTUMISHI NA MAISHA YA MUKRISTO Mwezi wa 4, 2016
Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
Maneno ya kusema ili kumutolea mutu Amuka! na kitabu Biblia Inafundisha. Fuata mufano huu ili kuandika namna yako ya kuanzisha mazungumuzo.
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
Utie Wengine Moyo Kupitia Maneno Yenye Upendo ili Wapate Nguvu
Marafiki watatu wa Ayubu hawakumufariji lakini waliongeza huzuni yake kwa kusema mashitaka yenye kuumiza na ya uwongo. (Ayubu 16-20)
MAISHA YA MUKRISTO
Habari Mupya ili Kuanzisha Mazungumuzo
Uanzishe mazungumuzo ya Biblia kwa kutumia sehemu “Biblia Inasema Nini?”
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
Ayubu Alipinga Mawazo Mabaya
Tuone tofauti kati ya uwongo wa Shetani na namna Yehova anajisikia kabisa kwa ajili yetu. (Ayubu 21-27)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
Ayubu Alikuwa Mufano Muzuri wa Uaminifu
Ayubu aliamua kuendelea kufuata kanuni za Yehova za mwenendo safi na kuiga wema na haki yake. (Ayubu 28-32)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
Rafiki wa Kweli Anatoa Mashauri Yenye Kujenga
Uige namna Elihu alihangaikia rafiki wake Ayubu kwa upendo. (Ayubu 33-37)
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Kampanye ya Kualika Watu Kwenye Mukusanyiko wa Eneo
Mambo ya kukumbuka wakati unaalika watu kwenye mukusanyiko wa eneo. Ufanye mazoezi kuhusu namna ya kutolea mutu mualiko.
MAISHA YA MUKRISTO
Mukusanyiko wa Eneo—Mambo ya Kukumbuka
Ufikiri kuhusu namna ya kuonyesha wengine upendo kwenye mukusanyiko wa eneo.