Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
AMUKA!
Namna ya kutoa gazeti: Nakuletea gazeti Amuka! ya sasa.
Ulizo: Tafazali, ona ulizo lenye kuwa kwenye ukurasa wa 2. Unawaza namna gani?
Andiko: Lu 7:35
Habari hii inaonyesha namna gani maneno ya andiko hii inahusu Biblia.
AMUKA!
Ulizo: Je, unafikiri kwamba ni jambo la hekima kuishi kulingana na maneno haya?
Andiko: Mt 6:34
Namna ya kutoa gazeti: [Fungua habari yenye kichwa “Mawazo ya Biblia—Mahangaiko.”] Habari hii inaonyesha namna Biblia inaweza kukusaidia kupambana na mahangaiko.
Biblia Inafundisha
Ulizo: Watu wengi wenye kumuamini Mungu wanataka kuwa marafiki wake wa sana. Je, unajua kwamba Biblia inatuomba tumukaribie Mungu?
Andiko: Yak 4:8a
Namna ya kutoa kitabu: Kitabu hiki kinasaidia watu kujifunza mambo mengi kuhusu Mungu kupitia Biblia. [Onyesha sura ya 1 ya kitabu Biblia Inafundisha.]
ANDIKA NAMNA UNAWEZA PIA KUANZISHA MAZUNGUMUZO
Ulizo: Andiko: Namna ya Kutoa Kichapo.