Tarehe 4-10/04
AYUBU 16-20
Wimbo 79 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Utie Wengine Moyo Kupitia Maneno Yenye Upendo ili Wapate Nguvu”: (Dak. 10)
Ayu 16:4, 5—Wakati unafariji wengine, tumia maneno yenye kuwatia nguvu (w90 15/3 uku. 27 fu. 1-2)
Ayu 19:2—Maneno ya Bildadi ya kuvunja moyo yalifanya Ayubu alie sana (w06 15/3 uku. 15 fu. 6; w94 1/10 uku. 32)
Ayu 19:25—Tumaini la ufufuo lilimutia Ayubu nguvu wakati alipata mateso mengi sana (w06 15/3 uku. 15 fu. 5; it-2 uku. 726 fu. 3-4)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)
Ayu 19:20—Ayubu alimaanisha nini wakati alisema “ninaponyoka na ngozi ya meno yangu”? (w06 15/3 15 fu. 1; it-2 uku. 509 fu. 7)
Ayu 19:26—Kwa sababu haiwezekane mutu kumuona Yehova, namna gani Ayubu ‘alimuona Mungu’? (w94 15/11 uku. 19 fu. 17)
Usomaji wa Biblia wa juma hii unanifundisha nini juu ya Yehova?
Ni mambo gani ya usomaji wa juma hii ninaweza kutumia katika mahubiri?
Usomaji wa Biblia: Ayubu 19:1-23 (Isipite dak. 4)
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Tujitayarishe ili Kuanzisha Mazungumuzo Katika Mwezi Huu: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video zenye kuonyesha namna ya kuanzisha mazungumuzo na kisha, muzungumuzie mambo makubwa ya kila video. Utie moyo wahubiri waandike namna wanaweza pia kuanzisha mazungumuzo..
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 42
“Habari Mupya ili Kuanzisha Mazungumuzo”: (Dak. 10) Mazungumuzo. Utie wahubiri moyo watumie habari “Biblia Inasema Nini?”ili Kuanzisha mazungumuzo yenye kuongoza kwenye funzo la Biblia.
Maulizo ya Wasomaji Wetu: (Dak. 5) Hotuba. Itolewe na muzee. Inategemea Munara wa Mulinzi wa tarehe 15/02/2015, ukurasa wa 30, fungu 4-6.
Funzo la Biblia la Kutaniko: ia sura ya 12 fu.13-25, mambo ya kukumbuka kwenye uku. 107 (Dak. 30)
Rudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza kisha zungumuzia kwa kifupi mambo yenye mutajifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)
Wimbo 65 na Sala