Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | AYUBU 16-20

Utie Wengine Moyo Kupitia Maneno Yenye Upendo ili Wapate Nguvu

Utie Wengine Moyo Kupitia Maneno Yenye Upendo ili Wapate Nguvu

Wakati unafariji wengine, tumia maneno yenye kuwatia nguvu

16:4, 5

  • Kwa sababu Ayubu alikuwa mwenye kuvunjika moyo na mwenye kuhangaika, alihitaji musaada na maneno ya wengine yenye kutia moyo

  • Marafiki watatu wa Ayubu hawakusema maneno ya kumufariji. Lakini, walisema maneno ya kumuhukumu yenye yaliongeza mahangaiko yake

Maneno ya Bildadi ya kuvunja moyo yalifanya Ayubu alie sana

19:2, 25

  • Ayubu alililia Mungu amutulize kwa njia fulani, hata kupitia kifo

  • Ayubu alikazia akili yake juu ya tumaini la ufufuo na aliendelea kuvumilia kwa uaminifu