Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 11-​17/04

AYUBU 21-27

Tarehe 11-​17/04
  • Wimbo 83 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • Ayubu Alipinga Mawazo Mabaya”: (Dak. 10)

    • Ayu 22:2-7—Elifazi alitoa mashauri yenye kutegemea mawazo ya uwongo na mafikiri yake mwenyewe (w06 15/3 uku. 15 fu. 7; w05 15/9 uku. 26-27; w95 15/2 uku. 27 fu. 6)

    • Ayu 25:4, 5—Bildadi alitoa mawazo ya uwongo (w05 15/9 uku. 26-27)

    • Ayu 27:5, 6—Ayubu hakukubali wengine wamusadikishe kwamba ameshindwa kuendelea kuwa muaminifu (w09 15/8 uku. 4 fu. 8; w06 15/3 uku. 15 fu. 9)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Ayu 24:2—Sababu gani kusogeza alama ya mupaka ilikuwa kosa kubwa? (it-1-F uku. 364)

    • Ayu 26:7—Ni jambo gani linafurahisha kuhusu namna Ayubu anazungumuzia dunia? (w15 1/6 uku. 5 fu. 4; w11 1/7 uku. 26 fu. 2-5)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hii unanifundisha nini juu ya Yehova?

    • Ni mambo gani ya usomaji wa juma hii ninaweza kutumia katika mahubiri?

  • Usomaji wa Biblia: Ayubu 27:1-23 (Isipite dak. 4)

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 129

  • Umushinde Mwenye Kukuchokoza Bila Kumupiga: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video ya picha zenye kuchorwa kwenye ubao yenye kichwa Umushinde Mwenye Kukuchokoza Bila Kumupiga. (Muende kwenye jw.org, chini ya habari MAFUNDISHO YA BIBLIA > VIJANA.) Kisha, muzungumuzie maulizo yenye kufuata: Sababu gani mutu anaweza kuchokozwa? Kuchokozwa kuna matokeo gani mabaya? Namna gani unaweza kupambana na hali ya kuchokozwa ao namna gani unaweza kuiepuka ikiwezekana? Unapaswa kumuambia nani kama unachokozwa? Ukazie uangalifu wa watu kwenye kitabu Maswali Ambayo Vijana Huuliza, Buku la 2, sura ya 14.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: ia sura ya 13 fu. 1-12 (Dak. 30)

  • Rudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza kisha zungumuzia kwa kifupi mambo yenye mutajifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 23 na Sala